Bado matetemeko ya Ardhi! yanabaki kuwa ishara ya kurudi kwa pili kwa YESU!
Luka 21:11 “kutakuwa na matetemeko makubwa ya nchi; na njaa na tauni mahali mahali; na mambo ya kutisha na ishara kuu kutoka mbinguni”.
Januari
- Tibet, China – 7 Januari 2025
Ukubwa wa tetemeko: 7.1 Mw
Vifo: Zaidi ya 126
Athari: Maelfu walijeruhiwa
Machi
- Sagaing, Myanmar – 28 Machi 2025
Ukubwa wa tetemeko: 7.7–7.9 Mw
Vifo: Zaidi ya 5,456
Athari: Maelfu walijeruhiwa, uharibifu mkubwa wa miundombinu
Aprili
- Istanbul, Uturuki – 23 Aprili 2025
Ukubwa wa tetemeko: 6.2 Mw
Vifo: Hakuna rasmi
Athari: Watu 151 walijeruhiwa kutokana na hofu na kuanguka majengo
Juni
- Cundinamarca, Kolombia – 8 Juni 2025
Ukubwa wa tetemeko: 6.3 Mw
Athari: Zaidi ya 31 walijeruhiwa
Julai
- Kamchatka, Urusi – 29 Julai 2025
Ukubwa: 8.8 Mw
Athari: Kuamsha tahadhari za tsunami katika Bahari ya Pasifiki
Agosti
- Kunar, Afghanistan – 31 Agosti 2025
Ukubwa wa tetemeko: 6.0 Mw
Vifo: Zaidi ya 800
Athari: 2,800 walijeruhiwa, uharibifu wa nyumba
Septemba
- Santorini, Ugiriki – Septemba 2025
Ukubwa: Matetemeko zaidi ya 28,000 yalitokea ndani ya wiki chache
Vifo: Hakuna taarifa rasmi
Oktoba
- Davao Oriental, Ufilipino – 10 Oktoba 2025
Ukubwa wa tetemeko: 7.4 Mw
Vifo: Zaidi ya 10
Athari: Maelfu walijeruhiwa, uharibifu mkubwa wa nyumba na miundombinu
BADO BIBLIA NI KITABU KINACHOISHI NA KUTABIRI MAMBO YA KWELI!
YESU KRISTO ANARUDI!


