Sisi ni nani?

sisi ni Jumuiya ya Watumishi wa Mungu kutoka kila mahali, wenye nia ya kuujenga mwili wa Kristo kwa njia ya kufundisha Neno la MUNGU kupitia tovuti hii..

Tuna amini kuwa kila mmoja anayo nafasi ya kujifunza kwa njia ya kusoma Makala na kwa njia ya kuuliza maswali pia kila mmoja analo jukumu la kufundisha wengine ufunuo mkamilifu wa Neno la MUNGU.

Tunayo furaha kukukaribisha wewe unayetafuta maneno ya Uzima kupitia tovuti hii, maneno yanayohubiriwa humu ni bure, na Ikiwa umebarikiwa na Neno la MUNGU kumbuka kumshukuru MUNGU kwa sadaka yako kwa Watumishi wa MUNGU na watenda kazi waliotumiwa na Bwana kukulisha chakula cha Uzima

LENGO LETU.

INJILI IFIKE KOTE KOTE.

Ufalme wa MUNGU ufike kila mahali, na ufalme wa giza, uanguke (Luka 10:18)

Thamani yetu.

TUNA SIMAMA NA..

Neno la Mungu pekee kupitia Biblia yenye vitabu 66
Uaminifu katika kulihudumia Neno (Matendo 6:4)
Udhihirisho wa Nguvu za Roho Mtakatifu (Matendo 4:31)
SAFARI YETU

NI KUINGIA YERUSALEMU MPYA

2Petro 3:13-14 “Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa
ndani yake. Kwa hiyo, wapenzi, kwa kuwa mnatazamia mambo hayo, fanyeni bidii ili mwonekane katika
amani kuwa hamna mawaa wala aibu mbele yake”.

Anza safari yako ya Imani leo

Usiruhusu ibilisi atawale maisha yako..

Scroll to Top