BIBLIA
 
Notifications
Clear all

BIBLIA

BIBLIA
Posts
Topics

Kaini alimwoa nani

Kaini alilaaniwa na hatujui alienda kumwoa nani lakini tunasoma alizaa watoto tena hodari tu, sasa alizaa na nani au kulikuwa na mwanamke mwingine tofauti na Hawa?

0
0

Biblia halisi ina vitabu vingapi

Wengine wanasema ina vitabu 66, wengine vitabu 73 wengine vitabu 88 na wengine zaidi ya mia... Binafsi naamini inavyo 66, lakini nataka nipate uhakika zaidi juu ya hili, kwasababu tumezaliwa tu na kuambiwa hivi sisi wenyewe hatufanya uchunguzi... sasa tusaidiane kidogo hapa..

0
0

Rangi ya Biblia inajalisha sana?

Wana jukwaa nimekutana na watu wanadai eti, biblia ikiwa nyeusi haina nguvu ya Mungu, na ni makosa kutumia biblia yenye kava la rangi nyeusi, na pia yenye msalaba, biblia inatakiwa iwe nyeupe sasa huu ni ufunuo mpya kwangu, lakini napenda kusikia maoni zaidi, tusije tukapotea.

0
0
Share:
Scroll to Top