Biblia halisi ina vitabu vingapi
Wengine wanasema ina vitabu 66, wengine vitabu 73 wengine vitabu 88 na wengine zaidi ya mia... Binafsi naamini inavyo 66, lakini nataka nipate uhakika zaidi juu ya hili, kwasababu tumezaliwa tu na kuambiwa hivi sisi wenyewe hatufanya uchunguzi... sasa tusaidiane kidogo hapa..
No topics were found here