Biblia halisi ina v...
 
Notifications
Clear all

Biblia halisi ina vitabu vingapi

Wengine wanasema ina vitabu 66, wengine vitabu 73 wengine vitabu 88 na wengine zaidi ya mia... Binafsi naamini inavyo 66, lakini nataka nipate uhakika zaidi juu ya hili, kwasababu tumezaliwa tu na kuambiwa hivi sisi wenyewe hatufanya uchunguzi... sasa tusaidiane kidogo hapa..

Author Name

Author Email

Topic Title *

 
Preview 0 Revisions Saved

No topics were found here

Share:
Scroll to Top