Biblia inaruhusu ku...
 
Notifications
Clear all

Biblia inaruhusu kuoa/kuolewa na mtu wa imani nyingine

Kuna watu wa imani nyingine tofauti na Ukristo ambao kimsingi ni wenye adabu na staha sana, na wengine wanafaa kuwa wake au waume zaidi hata ya baadhi ya wakristo, Je ikitokea nimempenda mmoja na ninaweza kufunga naye ndoa?

Tukikumbuka kuwa kwenye biblia alikuwepo Boazi aliyemwoa Ruthu mwanamke wa Taifa lingine na mambo yalikwenda vizuri tu!, kwanini sasa isikubaliwe?

Author Name

Author Email

Topic Title *

 
Preview 0 Revisions Saved
Share:
Scroll to Top