Notifications
Clear all
Biblia inaruhusu kuoa/kuolewa na mtu wa imani nyingine
Kuna watu wa imani nyingine tofauti na Ukristo ambao kimsingi ni wenye adabu na staha sana, na wengine wanafaa kuwa wake au waume zaidi hata ya baadhi ya wakristo, Je ikitokea nimempenda mmoja na ninaweza kufunga naye ndoa?
Tukikumbuka kuwa kwenye biblia alikuwepo Boazi aliyemwoa Ruthu mwanamke wa Taifa lingine na mambo yalikwenda vizuri tu!, kwanini sasa isikubaliwe?
Topic Title
Views
Posts
Forum Information
- 15 Forums
- 7 Topics
- 8 Posts
- 0 Online
- 15 Members
Our newest member: EVANGELIST GEORGE
Latest Post: Ifuatayo ni baadhi tu
Forum Icons:
Forum contains no unread posts
Forum contains unread posts
Topic Icons:
Not Replied
Replied
Active
Hot
Sticky
Unapproved
Solved
Private
Closed