Notifications
Clear all
Inategemea na mazingira
Topic starter
16/05/2025 11:40 am
Kama huyo mtu yupo tayari kubadili imani naona inawezekana ila kama hataki hapo hatuna ruhusa.
Ezra 9:11 ulizoziamuru kwa midomo ya watumishi wako, manabii, ukisema, Nchi ile, mnayoiendea ili kuimiliki, ni
nchi ya uchafu, kwa sababu ya uchafu wa watu wa nchi zile, kwa ajili ya machukizo yao, yaliyoijaza tangu
upande huu mpaka upande huu, kwa uchafu wao.
12 Basi, msiwape wana wao binti zenu, wala msitwae binti zao kuwa wake za wana wenu, wala msiwatakie
amani wala kufanikiwa milele; ili mpate kuwa hodari, na kula wema wa nchi hiyo, na kuwaachia watoto
wenu iwe urithi wa milele.
Quote
Forum Jump:
Forum Information
- 15 Forums
- 7 Topics
- 8 Posts
- 0 Online
- 15 Members
Our newest member: EVANGELIST GEORGE
Latest Post: Ifuatayo ni baadhi tu
Forum Icons:
Forum contains no unread posts
Forum contains unread posts
Topic Icons:
Not Replied
Replied
Active
Hot
Sticky
Unapproved
Solved
Private
Closed