Je ndoa ya wake wen...
 
Notifications
Clear all

Je ndoa ya wake wengi ni halali kibiblia?

Katika biblia kuna kumbukumbu za watu kuoa wake wengi, mfano Yakobo alikuwa na wake wanne, Sulemani mia saba na wengine wengi. Na Yesu alikuja kusema kuwa mke ni mmoja na mume mmoja, je kuna uthibitisho mwingine wa kutosha kwenye biblia kuthibitisha kuwa ndoa za wake wengi ni halali?, naomba tujadili hili..

Author Name

Author Email

Topic Title *

 
Preview 0 Revisions Saved
Share:
Scroll to Top