KANISA
 
Notifications
Clear all

KANISA

KANISA
Posts
Topics

Huu mtindo wa uvaaji kunani?

Jamani huu mtindo wa wanawake kuingia kanisani maziwa yakiwa yanaonekana na hata mgongo ukiwa wazi na vijana kupiga modo halafu na kiduku kichwani ni sawa kweli?

0
0

Mafuta ya upako.

Haya mafuta ya Upako,chumvi na maji siku hizi kila mahali yapo, tujadiane kama ni sahihi kutumia maana yalianza kama mshtuko kwa majority lakini sasa ni kama yamekubalika sio tena kitu cha kushangaza, ni kama tumelazimishwa kuamini na tumekubali.. 

0
0

Kanisa la kweli ni lipi duniani

Nafutailia kujua kanisa la kweli ni lipi, ila bado sijalipata, Kwanza nitajuaje kanisa la kweli kwasababu yapo mengi na kila siku yanaongezeka, na yana majina tofauti tofauti.. lakini kwa imani ya wenzetu hakuna migawanyiko mingi kama ya kwetu... kuna nini huku?.. tufuate lipi?

0
0

Mistari ya faraja

Ni mistari gani ya Biblia inafaa wakati wa misiba au wakati wa matatizo megine?

2
1
Share:
Scroll to Top