Kuachana ni dhambi?
Mfano mke wangu ameanza kukosa adabu, haniheshimu tena kama zamani, na ananisaliti, tumejaribu kutafuta suluhisho kwa viongozi wa dini na wazazi wa pande zote lakini imeshindikana, zaidi sana yeye mwenyewe anataka tuachane, je nikimwacha huyu na kuoa mwingine nitakuwa natenda dhambi..
Na maana yake nini Yesu aliposema "amwachaye mkewe isipokuwa kwa habari ya uasherani azini" alikuwa na maana gani, maana naona ni kama kuachana kumeruhusiwa hivi, lakini katika condition fulani fulani hivi kama hizo za uasherani.. hili tulijadili jamani!
No topics were found here