Kunyakuliwa ni kabla au baada ya ile dhiki kuu?
Kuna hii ishu ya unyakuo, naitaji sana kujua ukweli wake ni upi hasaa.. Tutanyakuliwa kwanza ndio dhiki kuu itakuja (kama walokole wanavyoamini) au dhiki kuu itakuja kwanza ndipo tunyakuliwe baadaye (kama wasabato wanavyoamini).
Naomba nijibiwe kwa hoja za kibiblia si kidini.
Pia linganisha mistari hii Mathayo 24:29-31 na 1Wathesalonike 4:13-18
No topics were found here