Kitabu cha Henoko kinasema wale wana wa Mungu ni malaika walioshuka na kulala na wanawake wa kibinadamu, wakazaa nao watoto, sasa labda naweza kukubali, lakini nauliza na leo malaika walio mbinguni wanaweza kushuka na kulala na watu, kama mapepo yanavyofanya sijui nimeeleweka.