MALAIKA
 
Notifications
Clear all

MALAIKA

MALAIKA
Posts
Topics

Wapo malaika wanaoweza kulala na watu na kuzaa nao watoto?

Kitabu cha Henoko kinasema wale wana wa Mungu ni malaika walioshuka na kulala na wanawake wa kibinadamu, wakazaa nao watoto, sasa labda naweza kukubali, lakini nauliza na leo malaika walio mbinguni wanaweza kushuka na kulala na watu, kama mapepo yanavyofanya sijui nimeeleweka.

0
0

kuna malaika wangapi mbinguni.

Kuna Malaika wangapi mbinguni, na kazi zao ni zipi na majina yao kama kuna mwenye elimu hiyo ila tusidanganyane. Tutoe na uthibitisho wa biblia

0
0
Share:
Scroll to Top