Notifications
Clear all
Ifuatayo ni baadhi tu
Topic starter
16/05/2025 9:06 pm
Zaburi 34:18
Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, Huwaokoa waliopondeka roho.
Quote
16/05/2025 9:17 pm
2 Wakorintho 1:3-4
Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa rehema, na Mungu wa faraja zote; atufarijiye katika dhiki zetu zote, ili sisi nasi tuweze kuwafariji wale walio katika dhiki ya namna yoyote, kwa faraja hiyo tuifarijiwayo na Mungu.
Zaburi 147:3
Huponya waliovunjika moyo, Hufunga-ndugu jeraha zao.
Zaburi 73:26
Mwili wangu na moyo wangu vinaanguka; Bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu, na fungu langu milele.
Zaburi 30:5
Maana hasira yake hudumu kitambo kidogo tu; Fadhili zake ni za maisha yote. Huwa kilio huja kukaa usiku, Lakini asubuhi huja furaha.
Mathayo 5:4
Heri waliao; maana hao watafarijiwa.
ReplyQuote
Forum Jump:
Forum Information
- 15 Forums
- 7 Topics
- 8 Posts
- 0 Online
- 15 Members
Our newest member: EVANGELIST GEORGE
Latest Post: Ifuatayo ni baadhi tu
Forum Icons:
Forum contains no unread posts
Forum contains unread posts
Topic Icons:
Not Replied
Replied
Active
Hot
Sticky
Unapproved
Solved
Private
Closed