Rangi ya Biblia inajalisha sana?
Wana jukwaa nimekutana na watu wanadai eti, biblia ikiwa nyeusi haina nguvu ya Mungu, na ni makosa kutumia biblia yenye kava la rangi nyeusi, na pia yenye msalaba, biblia inatakiwa iwe nyeupe sasa huu ni ufunuo mpya kwangu, lakini napenda kusikia maoni zaidi, tusije tukapotea.
No topics were found here